Kigwangalla kuhamishiwa Taasisi ya Mifupa (MoI)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kigwangalla kuhamishiwa Taasisi ya Mifupa (MoI)
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangalla anatarajiwa kuhamishiwa katika Taasisi ya Mifupa (MoI) pindi atakapokamilisha matibabu yake katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, alikolazwa tangu mwishoni mwa wiki.

Jana akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua maendeleo ya waziri huyo aliyepata ajali ya gari wiki iliyopita akiwa katika ziara ya kikazi, Mkurugenzi Mtendaji wa Moi, Dk Respicious Boniface alisema kuwa waziri huyo atahamishiwa kwenye taasisi hiyo wakati wowote. Alisema lengo la kumhamishia kwenye taasisi hiyo ni kuendelea na matibabu ya viungo vilivyovunjika.

Dk Boniface alikuwa akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu programu inayoendeshwa na taasisi hiyo ya uchunguzi wa umri kwa wachezaji wa timu ya taifa ya vijana walio chini ya miaka 17 ambao watashiriki michuano ya Cecafa itakayoanza jijini mwishoni mwa wiki.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad