AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Imeripotiwa kuwa klabu ya Manchester United kupitia wakala wake ipo mbioni kutaka kumsaini mshambuliaji wa Serengeti Boys Kelvin John ambaye amekuwa gumzo hivi karibuni baada ya kuonyesha kiwango safi katika michuano ya CECAFA Afcon U17 Zonal Quilifier inayoendelea jijini Dar Es Salaam.
Kwa mujibu wa mtandao wa Saleh Jembe umeripoti kuwa kigogo mmoja kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ambaye hakutaka jina lake kuwekwa wazi, alisema tayari mazungumzo yameshaanza baina yake na wakala huyo kwa ajili ya kumsajili John.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK