AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya kufanya tukio hilo, Samatta alishindwa kuzuia hisia zake mpaka alipoamua kuandika ujumbe kupitia Instagram kuonyesha furaha yake hiyo.
"Nina furaha kufunga hat-trick yangu ya kwanza nikiwa na genk usiku wa leo,naimani nyingine nyingi zinafuata. HAINA KUFELI," ameandika Samatta.
Katika mchezo huo ambao KRC Genk walicheza dhidi ya Brondby kwa mabao 5-2. Samatta alifunga magoli yake dakika ya 37, 55 na 70.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK