Alichokisema Samatta Baada ya Kupiga Hat Trick Kwenye Kufuzu Europa League

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Alichokisema Samatta Baada ya Kupiga Hat Trick Kwenye Kufuzu Europa League
Usiku wa jana mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta aliasndika historia yake ya mpya katika maisha yake ya soka kwa kufunga hattrick yake ya kwanza katika michuano ya soka barani Ulaya Europa.

Baada ya kufanya tukio hilo, Samatta alishindwa kuzuia hisia zake mpaka alipoamua kuandika ujumbe kupitia Instagram kuonyesha furaha yake hiyo.

"Nina furaha kufunga hat-trick yangu ya kwanza nikiwa na genk usiku wa leo,naimani nyingine nyingi zinafuata. HAINA KUFELI," ameandika Samatta.

Katika mchezo huo ambao KRC Genk walicheza dhidi ya Brondby kwa mabao 5-2. Samatta alifunga magoli yake dakika ya 37, 55 na 70.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad