AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
BAHI, DODOMA: Madiwani wataka Rais Magufuli amchukulie hatua Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo(DED), Rachael Chuwa kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma
-
Madiwani hao baada ya kufanya uchunguzi walibaini fedha zimetumika kunyume na utaratibu huku nyingine zikikosa maelezo
-
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Sostenes Mpandu amesema kamati ililenga kupitia matumizi ya fedha ya akaunti ya amana na mapato ya ndani baada ya kutokea utata
-
Ubadhirifu huo umebainika baada ya kupitia nyaraka mbalimbali zikiwemo ripoti ya kamati ya fedha za kila mwezi kwa mwaka wa fedha 2015/16, 2016/17 na Julai 2017 hadi Machi 2018; taarifa za benki; kitabu cha malipo na kufanya mahojiano na baadhi ya watumishi wa halmashauri.
-
Kiasi cha Shilingi Milioni 311.2 kutoka katika akaunti ya amana zilikopwa katika kipindi cha kati ya Julai 2015 hadi Septemba 2017 kinyume cha utaratibu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK