AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gari alilokuwa akabidhiwe mshindi wa Miss Lake Zone, limekataliwa na Kamati ya mashindano ya Miss Tanzania.
Gari hilo limezua gumzo kutokana na hali yake ya uchakavu.
Fainali za Miss Lake zone zinafanyika siku ya kesho, lakini kamati ya miss Tanzania chini ya kampuni ya The Look, imewaandikia barua waandaaji wa Miss Lake Zone kutafuta zawadi yenye hadhi na mashindano ya sasa ya Miss Tanzania.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK