Magari 6 Yateketea kwa Moto Dereva Mmoja Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Magari 6 Yateketea kwa  Moto Dereva Mmoja Afariki Dunia
Habari za usiku huu kutoka Kagera zinasema mpaka sasa Mtu mmoja bado yuko Hospitali akiendelea kupata matibabu baada ya gari alilokua akifanyia kazi kuserereka na kugonga mengine na kusababisha kuwaka moto.

Kamanda wa Polisi na Mkuu wa Mkoa wa Kagera wamesema chanzo ni gari moja lililoserereka na kugonga mengine, magari manne yaliokolewa kwenye tukio hilo, Dereva wa gari lililoserereka amefariki huku Kondakta ndio kalazwa Hospitali, bonyeza play hapa chini kupata mwanzo mwisho
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad