AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Habari za usiku huu kutoka Kagera zinasema mpaka sasa Mtu mmoja bado yuko Hospitali akiendelea kupata matibabu baada ya gari alilokua akifanyia kazi kuserereka na kugonga mengine na kusababisha kuwaka moto.
Kamanda wa Polisi na Mkuu wa Mkoa wa Kagera wamesema chanzo ni gari moja lililoserereka na kugonga mengine, magari manne yaliokolewa kwenye tukio hilo, Dereva wa gari lililoserereka amefariki huku Kondakta ndio kalazwa Hospitali, bonyeza play hapa chini kupata mwanzo mwisho
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK