AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kiungo wa klabu ya Manchester United kutoka nchini Uingereza Nemanja Matic ametoa shukrani zake kwa mashabiki wake kutoka nchini Kenya.
Kiungo huyo raia wa Serbia ametoa shukrani zake kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa mashabiki hao kutoka nchini Kenya baada ya daladala moja kutoka nchini humo kuchora picha ya kiungo huyo,huku pembeni yake kukiwa na nembo ya klabu ya Manchester United.
Matic amewashukuru mashabiki wake pia amashabiki wa klabu ya Manchester United kwa kunesha upendo kwake na klabu yake hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK