Mobetto, Barnaba na Shilole Wala Shavu Kampeni Ya Be Smart

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mobetto, Barnaba na Shilole Wala Shavu Kampeni Ya Be Smart
Wasanii wa muziki wa Bongo fleva Barnaba Boy Classic na Shilole pamoja na mwanamitindo maarufu Hamisa Mobetto wamekula Shavu baada ya kuteuliwa mabalozi wa TCRA.

Wasanii hao wameteuliwa na Baraza la ushauri la watumiaji wa huduma za mawasiliano (TCRA CCC) kuwa mabalozi wa kampeni ya Be smart inayojihusisha na kuelimisha vijana kuondokana na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii mashuleni.

Kwenye mkutano na waandishi wa habari wasanii hao wamefunguka kupata shavu hilo nono Lakini pia nafasi watakayo cheza kama mabalozi:
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad