AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ujumbe wa Twitter alisema hakuna sababu ya kutoendelea tena na mazoezi ya kijeshi na Korea Kusini ambayo yamekuwa yakiikasirisha Korea Kaskazini.
Siku zilizopita waziri wake wa ulinzi alisema mazoezi ya kijeshi yanaweza kuendelea.
China imeikosoa Marekani kwa kuilaumu kuhusu uhusiano wake na Korea Kaskazini.
Taarifa za vitisho vya kivita kati ya Marekani na Korea Kaskazini 2017
Mkutano kati ya Bw Trump na kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong-un mwezi Juni ulikamilika kwa ahadi kutoka Korea Kaskazini kufanya kazi katika kuharibu silaha za nyuklia kwenye rasi na Korea.
Baadaye Trump alitangaza kuwa hakukuwa tena na tisho kutoka Korea Kaskazini.
Lakini tangu wakati huo waangalizi wengi wanasema kuwa Korea Kaskazini haifanyi hima katika kuharibu maeneo yake ya kurushia makombora.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK