AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nandy amefunguka kuzungumzia kelele ambazo zipo kwenye mitandao ya kijamii kwamba anabebwa kwenye muziki wake na sio kipaji chake ambacho kimemfikisha sehemu aliyofikia.
Kwenye Interview aliyofanya na Bongo 5, Nandy amedai anashangazwa na tuhuma za kubebwa kimuziki Wakati anaimba nyimbo na zinapigwa kila kona na zinashika chati kama kawaida:
Hayo maneno ya watu hayanipi tabu yoyote kwa sababu each and everyday nasikia kuhusu kubebwa kubebwa lakini nyimbo zangu zinahit redioni na zinapigwa mpaka mikoani na zinatrend Kwenye chati kwa mfano kama sasahivi ‘ninogeshe’ ina viewers milioni 5 kwaiyo suala la kubebwa halipo”.
Lakini pia Nandy amedai yeye kama staa kuongelewa ni jambo la kawaida kwani ukiwa msanii halafu ukaona hakuna hata mtu mmoja anakuongelea basi wewe sio staa.
Tuhuma Za Nandy kubebwa zilianza kutokana na Nandy kuimba nyimbo nyingi za wasanii wa zamani Lakini pia Nandy amewahi kukiri kuandikiwa nyimbo zake nyingi anazoimba.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK