AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Steve nyerere ndiye alikuwa wa kwanza kuongea na Billnass pale alipojigamba mbele za watu kuwa yupo na mlinzi wake (Boardgud) ambaye alimtaja kuwa ni Bill nass.
Staili hiyo ndiyo ilikuwa ya kwanza kuwaunganuisha na kuwakutanisha toka waanze beef lao ambalo lililoanza kwenye mitandao ya kijamii na kujikuta jana wote wakigonga tano na kusalimiana kwa furaha zote.
Bill nass na alipohojiwa alisema ndo ilikuwa siku ya kwanza wao kukutana na hata kusalimiana pia
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kwa ugonjwa alio nao Dimpoz hawezi kupona
ReplyDelete