AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Abbah ametoa ufafanuzi huo kupitia kipindi cha PLANET BONGO kinachorushwa na tinga namba moja kwa vijana EATV kila siku ya Jumapili kuanzia saa 12:00 jioni, baada ya mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Khaleed Mohamed ‘TID’ kudai bongo flava imejaa unaiNigeria mwingi na kuacha uhalisia wake.
"Ni kweli TID anaweza akawa amesikia hivyo kutokana na uwelewa wake lakini tunajua kwamba muziki ambao waliokuwa wamezoea kaka zetu sio huu ambao upo kwa sasa. Tunajaribu kufanya 'sound' ziwe za kiafrika nasio za kiNaigeria, nadhani watu wanashindwa kutofautisha kati ya Nigeria na Afrika", amesema Abbah.
Pamoja na hayo, Abbah ameendelea kwa kusema "muziki umeshabadilika na kubadilika huko kuna weza kuwafanya kaka zetu wakisikia kama 'sound' za Nigeria. Sisi tunajaribu kufanya muziki ambao unaenda sawa na soko la dunia na wala hatuna haja ya kukopi kwa watu wa Ulaya".
Muziki wa bongo fleva umekuwa ukipigiwa kelele muda mrefu na wadau mbalimbali wa tasnia hiyo, kuwa unapoteza uhalisia wa neno bongo fleva kutokana na wasanii kupenda kuimba tamaduni za nchi nyingine na kuacha kukuza za kitanzania ili kusudi hao wa nje kuiga za kwetu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK