AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja wa WCB, Sallam SK amefunguka kwa kudai kwamba pesa ambayo wamewekeza kwa msanii Rich Mavoko bado haijarudi huku akidai hata yeye hajui kitu ambacho kimemfanya muimbaji huyo kwenda kulalamika Basata.
Muimbaji huyo ambaye yupo chini ya WCB, wiki iliyopita alienda Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kulalamikia mkataba wake aliosaini na label hiyo kubwa ya muziki nchini Tanzania.
Akiongea na The Playlist ya Times FM Jumatano hii, Sallam SK amedai kwamba mpaka sasa pesa ambayo wamewekeza kwa muimbaji huyo katika project zilizotoka haijarudi hata robo. “Pesa ambayo tumekeza kwa Rich Mavoko haijarudi hata robo,” alisema Sallam.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK