AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika mabadiliko hayo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Naibu Kamishna wa Polisi, (DCP), Ahmed Msangi amekuwa Mkuu wa Kitengo cha Makosa Dhidi ya Binadamu, Makao Makuu ya Upelelezi jijini Dar es salaam, huku nafasi yake ikichukuliwa na Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Jonathan Shana, ambaye alikuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani.
Aidha, nafasi ya aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, imechukuliwa na Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Wankyo Nyigesa ambaye alikuwa Mkuu wa Oparesheni Kanda Maalum ya Dar es Salaam.
Taarifa hiyo imesema mabadiliko hayo ni kawaida ndani ya jeshi la Polisi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK