Singida United Wametambulisha Jezi Zao Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Singida United Wametambulisha Jezi Zao Mpya
Club ya Singida United ya Singida leo August 15 2018 imeingia mkataba wa mwaka mmoja na kampuni ya kitanzania ya utengenezaji wa vifaa vya michezo Sports Masters.



Baada ya kusainishana mkataba Singida walitambulisha rasmi jezi zao watakazotumia msimu wa 2018/2019 kwa game za nyumbani na ugenini sambamba na kuonesha warm up kit watakazotumia.



Mkataba huo Singida United watafaidika kutokana na mauzo ya jezi hizo, hivyo rasmi wametangaza kuwa zitapatikana pia jezi original kwa ajili ya mashabiki hapa Dar es Salaam maeneo ya Shoppers Mikocheni na watafungua pia duka Singida.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad