AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Skyner ambaye ni mmiliki wa boutique nguo na bidhaa mbali mbali lililopo Kinondoni studio amewatolea povu mastaa ambao wamekuwa na tabia ya kukopa bila kulipa.
Skyner amewamwagia povu zito na kuwaonya kuwa endapo hawataenda kumlipa basi atakuwa hana jinsi bali ni kuwanika hadharani maana kuna wengine hawapatikani kwa simu huku wengine wakiwa wamemblock:
Kwenye mahojiano na gazeti la Amani, Skyner amesema anaumia kwa sababu anatafuta kwa taabu sana lakini anashangazwa na baadhi ya watu ambao wengine ni mastaa wanamkopa lakini mwisho wa siku wanamzungusha.
Inaumiza, mtu unahangaika na jua huku na kule halafu mwingine anakuja kukukopa halafu anaingia mitini aisee inauma sana, nikiona inazidi kwa kweli nitawachana live kabisa maana wengine wana majina makubwa lakini wanajitia kichwa ngumu”.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK