Steve Amekuwa na Mchango Mkubwa Kwa Wasanii Hasa Muda Wa Matatizo- Uwoya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Steve Amekuwa na Mchango Mkubwa Kwa Wasanii Hasa Muda Wa Matatizo- Uwoya
Muigizaji wa Bongo movie Irene Uwoya ameibuka na kumkingia kifua Msanii mwenzake Steve Nyerere dhidi ya tuhuma za utapeli na Kula pesa za Michango ya rambi rambi.

Stevw Nyerere alijikuta katika wakati mgumu baada ya kila mtu kumnyooshea kidole na kumnanga kuwa misiba ikitokea anakuwa mstari wa mbele na kuchanganya michango ambayo anaishia kuitumia.

Kwenye mahojiano na Wasafi Tv, Irene Uwoya amemtetea Steve na kudai mchango wake mi mkubwa sana kipindi cha matatizo kwani watu wanakuwa hawajui wafanye nini hivyo yeye huwapa mwongozo kama kiongozi.

Kama Steve asingekuwa mtu wa kujitoa na kusimamia hiyo misiba tusongekuwa tunatoa heshima za mwisho sasa imekuja imegeuzwa kuwa Steven anasubiria misiba ili afaidike kitu ambacho sio cha kweli kwa sababu akisimama Steve msiba umetokea anasimama kweli kwa sababu msiba ni kitu cha ghafla tunakuwa hatujajipanga kwaiyo Steve anakuwa na uwezo wa kushika simu na kufanikisha mambo mbali mbali”.

Irene Uwoya amesisitiza kuwa Steve ni mtu muhimu sana Kwenye jamii na kama akijiondoa katika shughuli za kujitolea kama hizo lazima atakumbukwa maana mchango wake ni mkubwa sana.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad