Tiba ya Ukarabati wa Uke ''Inaweza Kusababisha Hatari Kubwa''

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wanawake wanaonywa dhidi ya hatari za mchakato wa kubadili umbo la uke ama kuurejesha katika hali yake asilia.

Wataalamu wanasema "matibabu", yanayotolewa na baadhi ya kliniki za kibinafsi katika mataifa mbali mbali yakiwemo ya Uingereza na Marekani yanaweza kumsababishia mwanamke kuungua vibaya, kupata makovu na kupata maumivu ya mara kwa mara.

Wakati wa matibabu haya, kifaa huingizwa ndani ya uke kwa ajili ya kuchemsha kukata nyama ya uke.

Ingawa matibabu haya si ya upasuaji na yanaweza kufanyika kwa muda mfupi tu, wataalamu wanashauri kuwa ni muhimu kuwa salama.

Matibabu hayo kwa njia ya vifaa vya kuchoma seli yameidhinishwa kwa matumizi ya matibabu ya kuua seli za saratani ya mfuko wa uzazi ama nyama ya uke pamoja na masundosundo ya sehemu za siri (genital warts) , lakini hayajafanyiwa vipimo vya ukarabati wa mwili

Hatari kubwa
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad