AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tarime na Rorya, Henry Mwaibambe amesema ajali hiyo ilitokea katika kitongoji cha Bukwe eneo la Mika alfajiri ya jana Agosti 14, 2018, ambapo uchunguzi wa awali umebaini chanzo cha ajali ni mwendo kasi uliosababishwa na dereva aliyekuwa akiwakimbia askari wa doria.
Kamanda Mwaibambe amesema dereva wa gari hilo aliyejulikana kwa jina la Athumani Masiaga ambaye ni miongoni mwa waliofariki dunia alikataa kutii amri ya kusimama iliyotolewa na askari wa usalama barabarani kutokana na kubeba samaki wanaosadikiwa kupatikana kutokana na uvuvi haramu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK