AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kauli hiyo aliitoa katika ukurasa wake wa instagramu ambapo Steve alituma Picha nyingi na zilizowaonyesha wasanii mbalimbali wakiwa wamevalia mavazi ya chama cha mapinduzi na kuandika maneno yaliyojirudia katika kila post aliyoituma huku yakisomeka 'Walifanya KAZI KUBWA SANA'.
Steve akuishia hapo aliendelea kuweka picha nyingine akiwa na mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli na Kuandika "Tulifanya KAZI KUBWA SANA, mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wetu alitupongeza''.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK