AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wolper aliongea hayo wakati akifanyiwa mahojiano na Ayo Tv na kusema kuwa kwa hatua aliyonayo kwa sasa ana hela nyingi sasa na uwezi kumfananisha na mwanamke yeyote wa bara la Afrika.
Aliendelea kusema kuwa katika nchi hii ya Tanzania Hakuna mwanamke wa kufananishwa naye na atakayefanya hivyo atakuwa anakosea labda kama atafananishwa kuwa ni miongoni mwa wanawake mastaa wa Tanzania na sii kumuweka katika wanawake wenye hela nyingi kwakuwa kwa nchii hii hakuna mwenye lever yake kipesa.
"Sijawahi kujiita Boss Lady ila kwa sasa naweza kujiita 'AM A BOSS LADY' Siwezi kufananisha na mwanamke yoyote wa Afrika na usinifananishe na wanawake wa Kitanzania Hakuna mwanamke mwenye pesa zaidi Yangu lakini kwa kiwango nilichonfikia AM A BOSS MADAM Iyo ya Boss lady Nawaachia watoto wa dogo"
"Kikubwa ukiwa kama boss lady unatakiwa uwe na pesa yako ila ukiwa na danga sponcer alafu unajiita boss madam unafake usijitutumue unatakiwa ufanye uwe realy "
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK