AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo ambaye alikuwa kwenye mahusiano na Tessy na kufanikiwa kupata naye mtoto mmoja, amesema kwa sasa hana mpango wa kuingia kwenye mahusiano.
“Nilishawahi kuumia kwenye mahusiano ya kimapenzi lakini mahusiano hayo hayakuwa kati yangu na mama mtoto wangu Tessy ni ya mwanamke mwingine, ndio maana kwa sasa nipo single,” Aslay alikiambia kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM.
Aliongezaq,”Sitaki kukurupuka kutafuta mahusino mapya kwa sababu wanawake wengine wanakupenda kwa kuwa ni msanii na wengine wana tamaa”
Muimbaji huyo wiki hii ameachia wimbo wake mpya uitwao, Kwatu ambao umeonekana kupokewa vizuri na mashabiki wengi wa muziki nchini Tanzania.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK