AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mapema mwanzoni mwa mwaka huu thamani ya Samatta ilikuwa ni euro 2.70m (Sh bilioni 7), huku akiwa hayupo katika kiwango kizuri kutokana na kuwa majeruhi mara kwa mara.
Samatta alijiunga na Genk msimu wa mwaka 2016 akitokea TP Mazembe ya DR Congo, amerejea kwenye kiwango cha juu, wiki chache zilizopita akafanikiwa kupiga hat trick yake ya kwanza akiwa na timu hiyo kisha akafunguka kupitia ukarasa wake wa Instagram kwa kusema:
“Nina furaha kufunga hat trick yangu ya kwanza nikiwa na Genk, nina imani nyingine nyingi zinafuata, haina kufeli.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK