Fedha ya Zambia kuanza kutumika Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Fedha ya Zambia kuanza kutumika Tanzania
Baada ya kituo cha Pamoja cha Forodha cha mpaka kati ya Tanzania na Zambiakuanza rasmi kutumika good news iliyotangazwa leo na Benki Kuu ni kuwa Magavana wa Benki Kuu ya Tanzania Prof. Florens Luoga na Benki ya Zambia, Dkt. Denny Kalyalya watatia saini makubaliano kuhusu matumizi ya fedha za nchi mbili za Tanzania yaani Shilingi na ile ya Zambia yaani Kwacha ili ziweze kutumika katika Miji ya Tunduma na Nakonde.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad