AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya kituo cha Pamoja cha Forodha cha mpaka kati ya Tanzania na Zambiakuanza rasmi kutumika good news iliyotangazwa leo na Benki Kuu ni kuwa Magavana wa Benki Kuu ya Tanzania Prof. Florens Luoga na Benki ya Zambia, Dkt. Denny Kalyalya watatia saini makubaliano kuhusu matumizi ya fedha za nchi mbili za Tanzania yaani Shilingi na ile ya Zambia yaani Kwacha ili ziweze kutumika katika Miji ya Tunduma na Nakonde.
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK