Kama Nitapewa Gari Nitamgonga Alikiba:- Gigy Money

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kama Nitapewa Gari Nitamgonga Alikiba:- Gigy Money
Mwanadada Gigy money amefunguka na kusema kuwa endapo itatokea kuwa akapata chance ya kumgonga moja ya ma-ex wake aliyowahi kuwa nao katika mapenzi basi msanii atakae kuwa wa kwanza kumgonga atakuwa ni Alikiba.

Gigy Money ambae aliwahi kusema kuwa katika wanaume wote aliwahi kuwa nao kimapenzi alikiba alikuwa akimpenda sana na alikuwa na mapenzi nae ya kweli anasema kuwa uamuzi huo anaweza kuuchukua kwa sababu Alikiba alimuumiza sana.

Gigy ambae siku zote amekuwa muwazi kuwataja wanaume aliowahi kutembea nao anasema kuwa mtu mwingine anaweza kuwa Hemd PHD lalkii mtu wa kwanza atakuwa Alikiba.

nimeshawahi kuwa katika mahusiano namasta wengi akiwemo rich mavoko lakini kama nitapewa gari  nichague wa kumgonga basi atakuwa ni Alikiba na Hemed maana hao waliniumiza sana.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad