Huu ndio Mwonekano Mpya wa Diamond Platnumz Baada ya Kusuka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Huu ndio Mwonekano Mpya wa Diamond Platnumz Baada ya Kusuka
Diamond Platnumz

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Naseeb Abdul a.k.a Diamond Plutnumz ambaye pia ndio C.E.O wa WCB Wasafi ameibuka na mwonekano mpya wa nywele baada ya kusuka.

Hii imekuwa ni mara ya tatu ya msanii huyo kuonekana na mwonekano mpya kichwanii baada ya mwonekano wa kwanza ulikuwa kwenye nyimbo yake na Rayvan ya Salome.

Katika nyimbo Rockonolo aliyoshirikishwa na Lumina alionekana pia na mwonekano mwingine wa nywele akiwa amesuka,lakini huu ni mwanekano mwingine kichwani wa Diamond Platnumz huenda kuna kitu kipya kinakuja.
Lakini msanii huyo amepost picha zake akionekana amesuka huku akiandika “EMBU JIBEBE”

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad