AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MWANA-MUZIKI wa Bongo Fleva, Emmanuel Eribariki ‘Nay wa Mitego’ ameeleza la moyoni kuwa bado anampenda aliyekuwa mpenzi wake, Nini na endapo atarudi atakuwa tayari kumpokea.
Nay aliliambia Ijumaa Wikienda: “Bado ninampenda sana Nini na hata kama akirudi leo hii akahitaji kurudiana na mimi, nitakuwa tayari kumpokea.” Nay alizama kwenye penzi zito na Nini ambaye naye ni msanii wa Bongo Fleva ambapo licha ya kuonekana kuweka hadharani mapenzi yao, lakini hawaku-dumu kwa muda mrefu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK