AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Habari ambazo zinasambaa kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii ni kwamba rapa huyo hayupo kwenye maelewano mazuri na mke wake Irene Uwoya.
Hatua hiyo imekuja baada ya msanii huyo kutoka Arusha kuumwa siku za karibuni na kupelekea kulazwa lakini mke wake ambaye ni msanii wa filamu amekuwa alionekana kula bata katika viwanja mbalimbali.
Baada ya kugundua mume wake huyo anaumwa mrembo huyo alipost picha ya rapa huyo mtandaoni na kum-wish birthday, ujumbe ambao ulitafsiriwa na wadau wa mambo kwamba haukuwa na uzito wowote.
Jumanne hii baada ya taarifa kuendelea kuzagaa kwamba wawili hao wameachana, mrembo huyo ameandika ujumbe mpya.
“Whatever you hear about me please believe it…I no longer have time to explain myself…you can also add some if you want😉😉😉,” aliandika Irene.
Bongo5 bado inalifuatilia jambo hili kwa ukaribu ili kukuletea taarifa ambayo imekamilika.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK