Kiswahili Chainidhinishwa Kufundishwa Mashuleni Afrika Kusini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kiswahili chainidhinishwa kufundishwa mashuleni Afrika Kusini
Waziri wa Elimu nchini Afrika Kusini, Angie Motshekga ametanganza kuwa lugha ya Kiswahili imeidhinishwa kama lugha ya pili itakayofundishwa mashuleni kuanzia mwaka 2020.

Waziri Motshkega amesema “Lugha hiyo imeidhinishwa na Baraza la Mawaziri wa Elimu(CEM) kutoka kwenye orodha ya lugha 15 zisizo rasmi zilizoorodheshwa kama masomo yasiyo ya lazima“

Kiswahili ni lugha ya tatu kwa ukubwa katika mawasiliano barani Afrika baada ya lugha za Kiingereza na Kiarabu na ina uwezo wa kusambaa kwenye nchini ambazo hazijawahi kuitumia.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad