Jadee Afunguka Kilichomsababisha Kutaka Kujiua kwa Kunywa Sumu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jadee Afunguka Kilichomsababisha Kutaka Kujiua kwa Kunywa Sumu
Mwanadada Lady Jay Dee amefunguka na kuweka post katika akaunt yake na kusema kuwa siku kadhaa nyuma zilizopita alitaka kunywa sumu  kutokana na yake anayoyapitia lakini alikuja kuwaza vitu vingi na kujiona kuwa hana sababu ya kufanya hivyo kwa kuwa alishayapitia mengi kabla ya haya.

Katika ukurasa wake wa Twitter, Jay Dee aliandika “jana nilitaka kunywa sumuila kabla sijafanya nikajisuta na kukumbuka  kuwa nitakuwa mjinga kiasi gani , nikajisikitika na kisha nikaacha na hadi leo nipo kigumu gumu  ila bado nipo.


Mwanadada huyo ni moja kati ya wasanii wa kike wanaoangaliwa sana historia zao za maisha kutokana na kuwa muhamasidhaji bora wa watu wnegine hasa katika muziki.kuna mengi watu wanapitia na hata yeye yapo mngi aliyopitia pengine yalitaka kumkatisha tamaa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad