AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
‘’Ni kitu kizuri kwa mtu kuwa na ndoto kubwa na kitu kilichonisikitisha pale tu Nikki Wa Pili alitangaza ndoto yake kubwa ya kuwa Rais wa Tanzania alikutana na vipingamizi vikubwa kwa watu wengi wakiona kuwa ni kitu ambacho hakiwezekani inaonyesha ni jinsi gani tuko katika taifa la watu wasio na ndoto, ni kitu kibaya sana lazima uwe na ndoto, lazima uwe na kitu kinachokwambia kwamba siku moja wewe utakuwa mtu fulani na ukiifanyia kazi hiyo ndoto yako utaweza kuifanikisha maana hapa chini ya jua hakuna kinachoshindikana, kwahiyo namtakia kila la heri na baraka zote atimize ndoto zake’’ Alisema John Makini akifanya mahojiano na mtandao wa www.cloudsfm.co.tz
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK