AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nsajigwa amejiunga na walima alizeti hao huku akiendelea kuwa Msaidizi ambapo sasa atakuwa chini ya Mkuu wake, Hemed Morocco.
Kocha huyo amefikiana mwafaka na viongozi wa Singida United tangu aachie ngazi ikiwa ni miezi kadhaa sasa akiwa hana timu.
Ikumbukwe Nsajigwa alieleza kujiondoa Yanga baada ya kuwa na minong'ono kuwa alikuwa akiihujumu timu na kusababisha kupata matokeo mabovu.
Mbali na kuinoa Yanga, Sanjigwa pia aliwahi kuichezea Yanga ambayo ni bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Bara mara 27.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK