AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamitindo na Msanii wa Muziki wa Bongo fleva Hamisa Mobetto amefunguka na kuongelea bifu lake na msanii mkongwe wa Bongo fleva Rehema Chalamila Ray C.
Mobetto na Ray C waliingia kwenye sintofahamu siku za nyuma na kujikuta wanarushiana maneno ya kejeli na baadae mashabiki na wapambe wao kujikuta Kwenye vita ya maneno.
Lakini siku ya juzi Ray C alilimaliza bifu hilo baada ya kumposti Hamisa na nyimbo yake mpya na kusema amani itawale juu yao na kumtakia Mrembo mafanikio mema katika ulimwengu wa muziki.
Kwenye mahojiano na East Africa Television, Hamisa amefungukia bifu lake na Ray C na kuweka wazi kuwa hawezi kuwa na bifu na mtu maana kibongo Bongo mabifu ya wasanii hayalipi:
Unajua huyo dada sijawahi kumuona live yaani na Mwanzoni sikujua kama ananiongelea mimi man sikuwahi kumjibu lolote kuhusiana na hilo na binafsi napenda mziki wake kwaiyo kama ameposti video yangu nashukuru, Unajua nchi za wenzetu wakiwa na mabifu wanatengeneza pesa lakini huku kwetu hakuna faida”.
Lakini pia alipoulizwa kuhusu Tanzania Sweetheart Wema Sepetu, Hamisa amekataa kabisa kuliongelea na kusisitiza hana maelewano mzuri na Wema hivyo hawezi kusema chochote kuhusu yeye.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK