Rais Magufuli Amcharukia Mbowe.."Usitafute Kiki Kwenye Msimba wa MV Nyerere"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amewaonya wanasiasa kutumia tukio la msiba wa jali ya MV Nyerere kutafutia kiki za kisiasa kana kwamba wanafahamu ajali hiyo ilivyotokea.

Magufuli amesema hayo leo jioni wakati akitoa salam za pole kwa Taiofa kufuatia ajali hiyo iliyotokea jana na kuua jumla ya watu 131 wamepoteza maisha huku wengine 40 wakiokolewa.

Kauli hiyo ya rais imekuja ikiwa ni saa chache baada ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kuzungumza na vyombo vya habari na kumtaka Rais awawajibishe wote waliohusika na tukio hilo huku akiilalamikia serikali kwa madai ya kushindwa kufanya juhudi za uokoaji kwa jana na kusitisha zoezi hilo hadi leo kutokana na giza.

Mbali na Mbowe, Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia naye alitoa kauli akiitaka serikali kuboresha mindombinu ya uokoaji na kutoa elimu hiyo ikiwa ni sambamba na kuanzishwa kwa chombo maalum cha kupambana na maafa.

 Aidha, Rais ameagiza Bendera ya Taifa kupepea nusu mlingoti kwa siku nne kuanzia leo Septemba 21 hadi Septemba 24, kufuatia ajali hiyo na kuagiza wahusika wote wakamatwe na kuhojiwa na watakaokutwa na hatia wachukuliwe hatua.

VIDEO:

Source:GPL
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad