AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akihutubia wananchi jijini Mwanza leo Septemba 3, 2018 Rais Magufuli amesema iwapo wabunge wa CCM nao wangepiga kura za hapana kama wenzao wa upinzani, Serikali isingeweza kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa meli mpya, reli ya kisasa na ununuzi wa ndege.
"Ni demokrasia kusema hapana; lakini hiyo ni demokrasia mfu iwapo inakwamisha maendeleo ya wananchi," amesema na kuongeza, “wangepitisha bajeti na kufuatilia matumizi na utekelezaji."
Amesema kura ya hapana inamaanisha wakazi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa waendelee kuteseka kwa kukosa usafiri wa uhakika ndani ya Ziwa Victoria.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK