Daimond Azindua Mashindano ya ‘Jibebe Challenge’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Daimond Azindua Mashindano ya ‘Jibebe Challenge’
Kampuni ya Kubashiri ya Biko kwa kushirikiana na Kundi la WCB lililopo Chini ya Mbongo Fleva, Diamond Platnumz wamezindua rasmi mashindano ya ‘Jibebe Challenge’ yatakayokuwa yanafanyika kila siku ya Jumapili katika ukumbi wa The Life Club uliopo Mwenge jijini Dar es Salaam.

Mashindano hayo ya Kucheza yameanzishwa siku chache baada ya Diamond, Lavalava na Mbosso kuachiwa wimbo wao wa Jibebe ambao umekuwa gumzo sana mjini.

Kama wewe ni kijana na una kipaji cha kucheza wimbo wa Jibebe basi fika kila Jumapili katika ukumbi wa Life Club ili uweze kushiriki katika shindano hilo na ikiwa ni bahati yako basi unaweza kusajiliwa WCB kwani wanahitai madansa kwa ajili ya Lavalava na Mbosso.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad