AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Man Fongo ameeleza hayo alipokuwa anazungumza na eNewz baada ya kupita siku chache, tokea baba yake mzazi kudai kijana wake huyo amekamatwa na kuwekwa kolokoloni kutokana na kukutwa na bangi.
"Sungusungu wa Ali Maua wanafanya kazi kinyume na taratibu na wamekuwa na tabia ya kuwabambikizi wananchi kesi, naomba waondolewa tubaki na kituo cha polisi peke yake na kama kuna tatizo lolote tutaenda kushitaki polisi. Wale Sungusungu wanasumbua vijana pamoja na kina mama na walishalalamikia lakini malalamiko yao hayajasikika bado.", amesema Man Fongo.
Mbali na hilo, Man Fongo amedai kuwa Sungusungu wengi wa mjini wamekuwa wakizunguka mitaani na pindi wanapokutana na raia wanaomba pesa na endapo ukiwa huna basi wanamkamata raia huyo na kumpeleka polisi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK