Mange Kimambi Atoboa Siri ya Wema Sepetu Kushinda Miss Tanzania 2006 na Kumpita Jokate

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mange Kimambi Atoboa Siri ya Wema Sepetu Kushinda Miss Tanzania 2006 na Kumpita Jokate
Mwanaharakati mange kimambi ameamua kutoa povu lake kwa mwanadada  wema sepetu baada ya kutokea mtafaruku baada ya kuvuja kwa clip ya hamisa akiongea na mganga wa kienyeji kuwa anataka kuwaloga wanafamilia ya diamond.

baada ya clip hiyo mwema lioenekana kupaniki na kumtukana hamisa huku akisema kuwa mange kimambi amabe amekuwa akimtetea hamisa hampi ushauri mzuri hamisa.

akisema kwa kujiamini na kumwambia mange na hamisa waache shobo mange kimambi aliamua kujibu na kumwambia kuwa akumbuke kuwa hiyo shobo yake ndio iliyomfanya yeye kupata u-miss tanzania mwaka 2006.

mange kimambe aliamua kusema kuwa kulikuwa na uwezekano mkubwa wa wema kushindwa kupata taji hilo lakini kutokana na kukaririsha maswali ndipo wema alipoweza kupata maswali na kujibu inavyostahili na kushindwa lakini alietakiwa kuwa mshindi ni Jokate Mwegelo.

kama isingekuwa shobo zangu hilo taji la miss tanzania usingelipata kabisa…i really made literally kama usingemshinda jokate kwenye maswali basi wala usingetwaa taji..maswali ambayo mimi nafaraja kota tulikalisha matako yetu chini tukasearch na kuyatafakari , tukakuandikia majibi theni nikakuletea  majibu na kukremu like sero brain taht you are…BILA SHOBO ZANGU JOKATE ANGEKUFUNIKA KWA SABABU USINGEWEZA KUMSHINDA KWA MASWALI
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad