Marekani Yaliwekea Vikwazo Jeshi la China kwa Kununua Ndege na Makombora ya Urusi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Marekani yaliwekea vikwazo jeshi la China kwa kununua ndege na makombora ya Urusi
Marekani imeliwekea vikwazo jeshi la China kufuatia hatua zake za kununua ndege za jeshi kutoka Urusi pamoja na makombora ya kurushwa kutoka ardhini.

Inasema ununuzi kama huo unakiuka vikwazo vya Marekani dhidi ya Urusi kujibu, tabia za Urusi nchini Ukraine na madai ya kuingilia kati uchaguzi wa Marekani.

Majuzi China ilinunua ndege 10 za Sukhoi Su-35 na makombora ya S-400.

China haijajiunga kwenye vikwazo ilivyowekewa Urusi kutoka Marekani na washirika wake tangu mwaka 2014.
Uhusiano kati ya Marekani na Urusi ulidorora kwa haraka baada ya Urusi kulimega eneo la Crimea kutoka Ukraine mwaka 2014.

Madai ya Urusi kuingilia kati uchaguzi wa Marekani wa mwaka 2016 na kuhusika kwake kijeshi nchini Sryria kuliongeza zaidi misukosuko.


EDD na Bw Li wamejumuishwa kwenye orodha ya watu wanaowekewa vikwazo ikimaanisha kuwa mali yote wako nayo nchini Marekani yanatwaliwa na kwamba raia wa Marekani wanazuiwa kufanya biashara nao.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad