AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kivuko hicho kilikuwa kinatoka Bugorora kwenda Ukara katika Ziwa Victoria kilizama kikidaiwa kuwa na watu zaidi ya 100.
Rais Magufuli ametoa salamu hizo jana usiku saa 20:40 kupitia kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais- Ikulu, Gerson Msigwa aliyepiga simu Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakati wa taarifa ya habari.
“Rais anatoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki waliofikwa na ajali,” alisema Msigwa
Msigwa alisema, “Rais anaomba Watanzania kuwa watulivu wakati juhudi za uokoaji zinaendelea na baadaye Serikali itaweza kutoa taarifa ya nini kitakachoendelea.”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK