Mbaroni kwa Kukutwa na Kiroba chaa Nyuki Kituo cha Kupiga Kura

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbaroni kwa Kukutwa na Kiroba chaa Nyuki Kituo cha Kupiga Kura
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Mbeya, Ulrich Matei amesema wana washikilia watu wanne kwa tuhuma za kukutwa na bastola moja yenye risasi 15 na mfuko wa manila uliokuwa na nyuki katika eneo la uchaguzi wilayani Kyela.

RPC Matei amesema tukio hilo lilijitokeza na watu hao walikuwa kwenye gari aina pickUP ambapo baadhi yao walikimbia na kuwakamata wengine wanne.

“Watu hawa tuliwapekua na kuwahoji ambapo walisema wanafanya kazi za kulinda kura kwenye uchaguzi unaoendelea katika Kata ya Nkuyu wilayani Kyela” RPC Mbeya
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad