AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Binti huyo, Selina Michael(17) mkazi wa mtaa wa Butunga alipelekwa katika hospitali ya Baptist kupata matibabu na baadae familia kuarifiwa na Mganga wa zamu kuwa binti huyo amefariki
Wazazi wa binti huyo wameeleza kuwa chanzo cha binti huyo kupelekwa hospitali ni baada ya kuanguka ghafla alipokuwa akishuhudia vurugu zilizokuwa zikiendelea nyumba ya jirani
Aidha, Mganga Mkuu Mfawidhi wa hospitali hiyo, James Chausa amekiri kumpokea binti huyo na kwamba Mganga wa zamu wa siku hiyo Cassian Ndilaliha alimpima na kubaini kuwa tayari amekwishapoteza maisha
Inadaiwa kuwa binti huyo alipoteza maisha kwa nguvu za giza na wakati daktari anampima hakuwa na mapigo ya moyo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK