Video: Sakata la Makontena ya Makonda Le Mutuz Amuomba Msamaha Waziri Mpango

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Sakata la Makontena ya Makonda Le Mutuz Amuomba Msamaha Waziri Mpango
Mjasiriamali ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu, john Malecela, William Malecela maarufu kwa jina la Lemutuz amesema amemuomba msamaha Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango kufuatia kauli yake kuhusu mkontena ya RC Paul Makonda yaliyokamatwa bandarini kwa kushindwa kuyalipia kodi.

Lemutuz amesema kwa uelewa wake alidhani baada ya makontena hayo kukamatwa, samani zote zilizomo ndani zingepelekwa na kugawiwa mashuleni, lakini baada ya Rais Magufuli kufafanu juzi kwamba mwenye mamlaka ya kupokea misaada ni Waziri wa Fedha pekee, hivyo Lemutuz aliielewa sheria, amemuomba msamaha Waziri na kuiachia serikali ifanye maamuzi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad