Obama Amchana Trump ''Ache Kufanya Mambo ya ‘Kipuuzi’ Ikulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Obama Amchana Trump ''Ache Kufanya Mambo ya ‘Kipuuzi’ Ikulu
Rais Mstaafu wa Marekani Barack Hussein Obama amesema chama tawala cha nchi hiyo Repubican kuwa kimeshindwa kumdhibiti Rais wa sasa Donald Trump kufanya mambo ya kipuuzi Ikulu.

Hii ni mara ya kwanza kwa Obama kumkosa waziwazi mrithi wake Donald Trump tangu alipoondoka madarakani Januari 2017 na ameyasema hayo akiongea na Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Illinois-Urbana.

Rais Trump akiwa katika Jimbo la Dakota amesema kuwa aliangalia hotuba ya Obama lakini ilimfanya asinzie.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad