AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rage ameeleza kuwa TFF ilipaswa kukutana na Vodacom mapema ambao walikuwa wadhamini wakuu wa klabu kwa ajili ya kujadiliana na kampuni hiyo ya mawasiliano kwa ajili ya majadiliano juu ya mkataba mpya.
Kiongozi huyo aliyewahi kuingoza Simba amesema TFF walipaswa kuwajuza Vodacom mambo yapi yangeweza kubadilika ikiwemo kuongezeka kwa idadi ya timu kutoka 16 mpaka 20.
Hatua hiyo imekuja kutokana na ligi kuanza bila mdhamini mpaka sasa na baadhi ya timu zimekuwa zikilalamika juu ya gharama kadhaa ikiwemo za usafiri ambapo wengi wamesema uwepo wa mdhamini mkuu ulichangia kuleta unafuu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK