RPC Arusha Afanya Ukaguzi “Gari ya Taka Haitakiwi Kuwa Takataka”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

RPC Arusha afanya ukaguzi “Gari ya taka haitakiwi kuwa takataka”
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limetoa mwezi mmoja kwa wamiliki wa gari ya taka kurekebisha magari yao ili yaweze kuendana na hadhi ya jiji la Arusha. Hatua hii imekuja baada ya jeshi la polisi kufanya ukaguzi wa magari hayo nakubainika kuwepo kwa magari mabovu yakubebea taka.

Akizungumza baada ya ukaguzi Kamanda wa Polisi Arusha Ramadhan Ng‘anzi amesema lengo ni kuhakikisha magari hayo hayawi kero katika maeneo yanayopita kukusanya takataka katika Jiji hilo la kitalii.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad