Afande Sele Amuwakia Sugu ''Matendo Yako Ndio Yamemuua Mama Yako"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Afande Sele Amuwakia Sugu ''Matendo Yako Ndio Yamemuua Mama Yako"
Msanii mkongwe wa Hip Hop nchini Tanzania, Afande Sele amesema kuwa kwa upande wa vyama vya upinzani ni Professor Jay pekee ndiye Mbunge anayeonekana kufanya kazi kwa bidii huku akimtolewa mfano Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu kuwa anaendekeza siasa chafu za matusi jukwaani.



Afande Sele amefunguka hayo kupitia mahojiano yake na Bongo5, ambapo amedai kuwa kauli ya Sugu kuwa mama yake amefariki kutokana na tukio la yeye kufungwa jela hilo ni kosa lake kwani alimtukana mkuu wa nchi, Rais Magufuli jukwaani jambo ambalo ni kosa kisheria.

Mhe. Sugu wiki iliyopita Agosti 28, 2018 wakati wa kuuaga mwili wa marehemu mama yake jijini Dar es salaam, alisikika akisema kuwa mama yake alizidiwa zaidi na presha baada ya tukio la yeye kufungwa jela kwa kosa la kumtukana Rais Magufuli jukwaani, ambapo hadi mama yake anakufa alikuwa anaamini kuwa mtoto wake alifungwa kwa kuonewa jambo ambalo lilipelekea homa yake ipande.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad