Tamko la Simba Kuhusu Mashabiki Wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tamko la Simba kuhusu mashabiki wake
Uongozi wa klabu ya Simba kupitia kwa Ofisa Habari wake, Haji Manara, umesema sakata la wachezaji wake na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeshamalizika hivyo amewaomba watanzania wote waisapoti timu hiyo.

Kauli ya Manara imekuja kufuatia Kocha Mkuu wa Stars, Emmanuel Amunike kuwaondoa wachezaji 6 wa Simba baada ya kuchelewa kuripoti kambini, lakini baadaye alikutana na kuzungumza nao kisha kuwasamehe.

Kutokana na kitendo cha Amunike kuwasamehe wachezaji hao, Manara amewaomba watanzania wote wakaipe sapoti timu ya taifa itakapocheza na Uganda hasusani waliopo kanda ya ziwa.

Ofisa huyo amesema hakuna haja ya kuitenga timu kutokana na na baadhi ya mashabiki wa Simba kuibuka na kueleza wataisaliti kwa kuipa sapoti Uganda baada ya kupatwa na hasira sababu za wachezaji wao kuondolewa.

Stars itacheza na Uganda Septemba 8 huko Kampala ukiwa ni mchezo wa kufuzu kuelekea fainali za AFCON 2019.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad