AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kauli ya Manara imekuja kufuatia Kocha Mkuu wa Stars, Emmanuel Amunike kuwaondoa wachezaji 6 wa Simba baada ya kuchelewa kuripoti kambini, lakini baadaye alikutana na kuzungumza nao kisha kuwasamehe.
Kutokana na kitendo cha Amunike kuwasamehe wachezaji hao, Manara amewaomba watanzania wote wakaipe sapoti timu ya taifa itakapocheza na Uganda hasusani waliopo kanda ya ziwa.
Ofisa huyo amesema hakuna haja ya kuitenga timu kutokana na na baadhi ya mashabiki wa Simba kuibuka na kueleza wataisaliti kwa kuipa sapoti Uganda baada ya kupatwa na hasira sababu za wachezaji wao kuondolewa.
Stars itacheza na Uganda Septemba 8 huko Kampala ukiwa ni mchezo wa kufuzu kuelekea fainali za AFCON 2019.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK