AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wema amekuwa moja ya watu wanaomamini kuwa na mashabiki wengi sana na kwa kuthibitisha hilo, utakumbuka ilivyokuwa wakati wa kumpokea mwanadada Omotola ambae aliwahi kuja Tanzania kwa mwaliko wa mwanadada Wema Sepetu jinsi ambavyo alipokelewa na watu wengi hasa Team Wema .
Hii inaweza kuleta maswali mengi sana kuhusu mashabiki wa Wema hasa wale wanaojiita Team wema kuwa walikuwa wapi kumpa sapoti msanii wao kama kweli wao ni Team Wema au ndio mapenzi yameanza kuisha.
Hali ilivyokuwa uwanja wa taifa ni tofauti na ile amsha amsha ya Wema kila anapokuwa na mgeni katika viwanja hivyo, hata hivyo siku ya shughuli bado hivyo tunaamini kuwa watajitokeza wengi kumsapoti katika siku yake ya kuzaliwa lakini pia katika uzinduzi wa filamu hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK