Timu Wema Wamtosa Wema Sepetu Mapokezi ya Van Vicker

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Timu Wema Wamtosa Wema Sepetu Mapokezi ya Van Vicker
Sio kawaida kwa mwanadada Wema sepetu kupokea mgeni katika viwanja vya ndege kama ilivyotokea alfajiri ya leo kwa kuosekana kwa umati wa watu.Kama alivyokuwa akitoa taarifa ya ujio wa msanii huyo mkubwa kutoka Nigeria, alisema kuwa msanii huyo atakapo fika atakuja kupokelewa na watu mbalimbali kwa sababu ni mgeni wake.

Wema amekuwa moja ya watu wanaomamini kuwa na mashabiki wengi sana na kwa kuthibitisha hilo, utakumbuka ilivyokuwa wakati wa kumpokea mwanadada Omotola ambae aliwahi kuja Tanzania kwa mwaliko wa mwanadada Wema Sepetu jinsi ambavyo alipokelewa na watu wengi hasa Team Wema .

Hii inaweza kuleta maswali mengi sana kuhusu mashabiki wa Wema hasa wale wanaojiita Team wema kuwa walikuwa wapi kumpa sapoti msanii wao kama kweli wao ni Team Wema au ndio mapenzi yameanza kuisha.

Hali ilivyokuwa uwanja wa taifa ni tofauti na ile amsha amsha ya Wema kila anapokuwa na mgeni katika viwanja hivyo, hata hivyo siku ya shughuli bado hivyo tunaamini kuwa watajitokeza wengi kumsapoti katika siku yake ya kuzaliwa lakini pia katika uzinduzi wa filamu hiyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad