Trump Aishtumu China kwa Njama ya Kuingilia Uchaguzi wa Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Trump Aishtumu China kwa Njama ya Kuingilia Uchaguzi wa Marekani
China inajaribu kuingilia uchaguzi wa katikati nchini Marekani , rais Donald Trump amewaambia viongozi wa dunian katika mkutano wa baraza la usalama la umoja wa mataifa.

''Hawanitaki mimi ama sisi kushinda kwa sababu mimi ndio rais wa kwanza kuipatia changamoto China katika maswala ya kibiashara , Trump alisema siku ya Jumatano.

Hatahivyo rais Trump hakutoa ushahidi wa matamshi yake . China na Marekani zimekua na mgogoro wa kodi tangu uchaguzi wa Marekani ufanyike.

Hatahivyo waziri wa maswala ya kigeni nchiniChina alipuuzilia mbali shutuma hizo. Uchaguzi wa bunge la Congress wa katikati wa muhula unatarajiwa kufanyika manmo tarehe 6 mwezi Novemba.

" Katika hotuba yangu kwenye mkutano wa kila mwaka wa Umoja wa mataifa, nilitoa mpango wa utawala wangu wa kujenga amani katika siku zijazo'' , bwana Trump alisema alipokuwa akifungua mkutano wa baraza la usalama la Umoja wa mataifa mjini New York.

''Na tunshinda katika biashara tunashinda katika kila kiwango. hatutaki waingilie uchaguzi wetu ujao''.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad